DIB YATOA ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA MADINI GEITA

0
40

Afisa kutoka Bodi ya Bima ya Amana (DIB) Careen Max (kulia), akizungumza na wadau kutoka Benki ya Azania waliotembelea katika Banda la Bodi hiyo kwenye maonesho ya saba ya Teknolojia katika Sekta ya Madini yanayoendelea kwenye viwanja vya EPZ Bombambili mkoani Geita.

DIB inashiriki katika maonesho hayo kutoa elimu kwa wananchi kufahamu majukumu na kazi wanazofanya kwa mujibu wa sheria. 

Author

  • Dawati Huru

    Dawati Huru Media ni jukwaa la habari za kitaita, kimataifa, biashara, utalii sanaa na michezo. Ni meza moja inayokuletea mkusanyiko wa kila unachohitaji katika tasnia hii.

    View all posts

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here